Search

354 results for Tumaini Msowoya :

  1. Nyamoga atoa neno kwa Tarura marekebisha ya barabara sehemu korofi

    Wakazi wa Kijiji cha Kihesa Mgagao, Mkoa wa Iringa, wametaka kupata majibu kwa nini barabara ya kijiji chao haijatengenezwa wakati mwaka jana, mbunge Nyamoga aliwahakikishia ujenzi

  2. Magari yakwama, madereva walala njiani Kilolo

    Mbunge aongozana na wataalamu kutoka Tarura na Wakala wa Barabara Nchini (Tanroads) ili waone hali halisi.

  3. Wakulima wa parachichi wafundwa kilimo bora

    Akizungumza na Mwananchi leo Aprili 22, 2024, Mwenyekiti wa wakulima wa parachichi Wilaya ya Iringa, Wiles Nyaulile amesema lengo lao ni kuhakikisha kilimo hicho kinainua uchumi wao

  4. Eneo korofi Barabara ya Mafinga – Mtwango latengenezwa

    Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mbunge wa Mufindi Kusini, David Kihenzile amewaeleza wakazi wa Mufindi kupitia kundi la WhatsAPP la Mufindi Kwetu, kuwa tayari wamefanyia kazi kero ya ubovu wa barabara

  5. ‘Fanyeni utafiti ughaibuni kujifunza mambo mapya’

    Asisitiza umuhimu wa wasomi kufanya utafiti nje ya nchi, akisisitiza kuwa hii itawawezesha kupata maarifa na uzoefu wa kipekee.

  6. Wasomi wa vyuo wapewa mbinu kujipima

    Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Afya ya Mimea na Viuatilifu, Profesa Joseph Ndunguru, amesema utafiti na ubunifu ni eneo muhimu ambalo wasomi lazima wawekeze kwa sababu jamii

  7. Utafiti waeleza hatari wajawazito kula udongo

    Matokeo ya utafiti wao yanaonyesha kiwango cha bakteria na fangasi kwenye udongo ni kikubwa zaidi.

  8. Tahadhari kwa wanaotumia dawa holela, vinywaji vya kuongeza nguvu

    "Hii ni wiki ya tatu kichwa kinauma na nahisi mapigo ya moyo yanaenda kwa kasi. Kwa siku nilikuwa nakunywa mpaka chupa nane," amesema Saliba.

  9. Wafanyabiashara Iringa walia kutozwa kodi mara mbili

    Kwenye suala la kodi, wamesema mfanyabiashara anapovuna mti kwenye msitu wa Serikali wa Saohill, amekuwa akitozwa kodi ya halmashauri na baada ya kuachana mbao au kutengeneza nguzo, hutozwa tena...

  10. Tanroads wapiga kambi Mlima Kitonga kuondoa mawe barabarani

    Ili kuepusha ajali za barabarani katika milima ya Kitonga na Nyang'oro, watendaji wa Wakala wa Barabara (Tanroads ) mkoani Iringa, wameweka kambi kuondoa mawe mara tu yanapoporomoka kutokana na...

Page 1 of 36

Next